Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, September 25, 2013

TASWIRA: MBUNGE JOSEPH MBILINYI AKABIDHI VIFAA VYA UJENZI MBEYA

Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi amekabidhi mchango wake wa cement kwa viongozi wa makanisa mbalimbali kwa ajili ya ujenzi wa makanisa ya mbeya mjini yakiwemo Kanisa la Mitume- Mwanjelwa, Kanisa la Moravian-Iyunga na Kanisa Katoliki - Uyole...kama ilivyo ada yake ya  kushiriki katika ujenzi wa makanisa na misikiti ya jimbo la Mbeya Mjini.
 



No comments:

Post a Comment